SABABU ZA MAUMIVU YA KIUNO NA MGONGO
Maumivu haya huweza kusababishwa na matatizo kwenye via vya uzazi, kibofu cha mkojo, utumbo mkubwa au misuli ya nyonga. Yanaweza kuwa yanaendana na mzunguko wa hedhi au la, huwa mara nyingi chini ya kitovu na kiunoni. Maumivu yanaweza kuwa makali kiasi cha kuathiri shughuli zako za kawaida.
Sababu Za Maumivu ya Kiuno
Kuna sababu mbalimbali ambazo zinaweza kupelekea mwanamke kupata maumivu ya kiuno kwa muda mrefu, sababu hizi ni:
Maumbukizi ya ndani ya kiuno ya muda mrefu (Chronic Pelvic Infection).Maam
Dalili nyingine ni kukojoa mara kwa mara, kukojoa usiku na kushindwa kubana mkojo.Ugonjwa wa Kidole Tumbo (Chronic Appendicitis). Tatizo la kidole tumbo huleta maumivu upande wa kulia chini ya kitovu ambayo huwa hayatulii na dawa za maumivu.Kushika
Comments
Post a Comment