CHANGO LA UZAZI NA TIBA YAKE

 LIJUE TATIZO LA CHANGO LA UZAZI. 

Tunapozungumzia mgonjwa wa chango tuna maana kuwa ni matatizo yaliyopo katika viungo vya uzazi kwa mke au mume. Huu ni ugonjwa ambao humpata mtu katika umri mdogo utotoni. Kwa mfano :- mume, hupata maumivu ya tumbo mara kueneza anapokuwa mdogo. Kwa upande wa mwanamke hupata maumivu ya tumbo anapoanza kuvunja ungo. Maumivu hayo hupelekea mtu (mume/mwanamke) kupata madhara katika viungo vyake vya uzazi.

DALILI ZAKE

Kwa mwanaume atakuwa akishiriki tendo la ndoa, anawahi sana kufika kileleni na kurudia mara nyingine ni vigumu sana.Pia mwanaume hatakuwa na uwezo wa kusimamisha.Ni vigumu kumpa mimba mwanamke.

Mwanamke mwenye chango la uzazi ana dalili zifuatazo:-

Kupata maumivu makali wakati anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhiKuhisi maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoaSiku zake za hedhi hazitakuwa na ratiba, zitakuwa zinabadilika badilikaHujisikia homa kali anapokaribia siku zake za dhedhiKupatwa hasirakali/ jazba anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi.Kujisikia uchovu mkubwa anapokaribia siku zake za hedhi.Kupata mchubuko kwenye mapaja na sehemu za uke.Kuchukia kushiriki tendo la ndoaKupata uvimbe kwenye kizaziMimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi

Madhara yake kwa mwanamke

Kwa mwanamke ni vigumu kupata mimbaMwanaamke anaweza kuwa tasa kabisaKuingia na kutoka kwa mimbaKuwa na hamu ya tendo la ndoa lakini hafikii kileleniKuwa na uke mdogo sana

Madhara kwa Mwanaume

Kuwa na mbegu ambazo haziwezi kutunga mimbaKiwango kinachozalishw cha megu ni kidogo mnoKuwa na kiwewe cha kushiriki tendo la ndoaKusimama na kusinyaa kwa uume

Tiba ya Chango la Uzazi 

Ni vizuri sana kumweleza Dr. Dalili zote mtu anapojisikia.
Mara nyingi ugonjwa huu hautibiwi kwa dawa za hospitalini, bali ugonjwa wa chango la uzazi hutibiwa na miti shamba.
Dawa inayotibu ugonjwa huu ni dawa inayotibu kizazi.Matumizi yake kawaida mtu ataitumia kulingana na ukubwa wa tatizo lake.
Huchanganywa na viungo vya uzazi vya wanyama, ambavyo kazi yake ni kuondoa matatizo yaliyopo, kwenye kizazi cha manamke/mwanaume.
Wengi wana amini kuwa dawa za miti shamba hazina uwezo wa kutibu haya ni mawazo potofu, miti shamba ndiyo suluhisho la kila tatizo katika afya zetu.
Mimi mwenyewe ni shuhuda nimelelewa katika miti shamba, ukipewa dawa ya mitishamba haijakusaidia ufahamu kuwa kiwango cha Dr/Mganga huyo hakijakomaa

Comments

Popular posts from this blog

MKUNDE PORI KIBOKO ZA UZAZI

FAIDA ZA MAJANI YA KIVUMBASI

BANKING SODA NA U.T.I SUGU